Seneta Okiya Omtata aongoza maandamano dhidi ya serikali kulaani utekaji nyara
Polisi mjini Nairobi, Kenya Jumatatu walilazimika kutumia mabomu ya kutoa machozi kutawanya waandamanaji waliokuwa wakilalamikia visa vya utekaji nyara vya wale wanaoonekana kuipinga serikali.
Waandamanaji hao wakiongozwa na Seneta Okiya Omtata baadhi ya viongozi hao walijifunga minyororo na kubeba mabango yaliyokashifu uongozi wa serikali ya Rais William Ruto kwa kuendeleza ukiukaji wa haki za kibinadamu.
Vuta nikuvute hiyo ilichukua zaidi ya saa nane kabla ya polisi kutumia nguvu kuwakamata viongozi hao.
Haya yanajiri siku chache baada ya Rais Ruto kuahidi angesitisha visa vya utekaji nyara.
Wiki iliyopita Tume ya Taifa ya Haki za Binadamu ya Kenya (KNCHR) ilisema takriban watu 82 wametekwa nyara tangu mwezi juni maandamano ya vijana yalipoanza.
Ripoti hiyo ilibaini utekaji nyara huo uliofanywa kisiri na kufikia sasa watu 29 hawajulikani walipo.
#polisi #kenya #nairobi #utekajinyara #maandamano #mabomu #voa #voaswahili #seneta #okiyaomtata
9 Aug 2025
- The multi-pronged structure is all under the Inspector General of Police.
9 Aug 2025
- Phase one of the stadium's construction has already begun.
9 Aug 2025
- Sifuna has been critical of President Ruto, demanding his ouster.
10 Aug 2025
- Energy Principal Secretary Alex Wachira has said that electricity vandals were on the rise thereby causing economic sabotage in the country disrupting services and endangering communities and hence called on security to put efforts in tackling the vice.
10 Aug 2025
- India shot down five Pakistani fighter jets and one other military aircraft during clashes in May, India's air force chief said on Saturday, the first such statement by the country months after its worst military conflict in decades with its neighbour.
10 Aug 2025
- Haiti's former national palace security chief, Vladimir Paraison, was appointed national police chief by the country's transitional government on Friday, as the Caribbean nation looks to battle armed gangs that have displaced over a million people.
10 Aug 2025
- The commerce department has started issuing licenses to Nvidia to export its H20 chips to China, a U.S. official told Reuters on Friday, removing a significant hurdle to the AI bellwether's access to a key market.
10 Aug 2025
- Colombian president Gustavo Petro announced Friday the start of fresh talks with Clan del Golfo, the country's largest drug-trafficking gang and the world's largest producer of cocaine.
10 Aug 2025
- DP Kindiki's national economic empowerment programme stirs debate
10 Aug 2025
- Pride is our nation's real pandemic and only humility can save leaders
10 Aug 2025
- 'Dr Aden' fears journos' questions more than a cold July morning
10 Aug 2025
- How Ruto's goofs created a US-China dilemma
10 Aug 2025
- Trump's hand in relocation of UN bodies from New York to Nairobi