Seneta Okiya Omtata aongoza maandamano dhidi ya serikali kulaani utekaji nyara
Polisi mjini Nairobi, Kenya Jumatatu walilazimika kutumia mabomu ya kutoa machozi kutawanya waandamanaji waliokuwa wakilalamikia visa vya utekaji nyara vya wale wanaoonekana kuipinga serikali.
Waandamanaji hao wakiongozwa na Seneta Okiya Omtata baadhi ya viongozi hao walijifunga minyororo na kubeba mabango yaliyokashifu uongozi wa serikali ya Rais William Ruto kwa kuendeleza ukiukaji wa haki za kibinadamu.
Vuta nikuvute hiyo ilichukua zaidi ya saa nane kabla ya polisi kutumia nguvu kuwakamata viongozi hao.
Haya yanajiri siku chache baada ya Rais Ruto kuahidi angesitisha visa vya utekaji nyara.
Wiki iliyopita Tume ya Taifa ya Haki za Binadamu ya Kenya (KNCHR) ilisema takriban watu 82 wametekwa nyara tangu mwezi juni maandamano ya vijana yalipoanza.
Ripoti hiyo ilibaini utekaji nyara huo uliofanywa kisiri na kufikia sasa watu 29 hawajulikani walipo.
#polisi #kenya #nairobi #utekajinyara #maandamano #mabomu #voa #voaswahili #seneta #okiyaomtata
1 May 2025
- The changes were proposed during the Labour Day celebrations at Uhuru Gardens in Nairobi.
1 May 2025
- Cardinals will begin their secret conclave to elect the new leader of the global Church on May 7.
1 May 2025
- In the wake of Were's murder, Kenyans.co.ke delved into the past assassinations of political figures.
1 May 2025
- A woman has been charged with forgery and making false documents in a protracted legal dispute over a parcel of land near Moi Barracks in Eldoret, Uasin Gishu County.
1 May 2025
- Education Cabinet Secretary Julius Ogamba confirmed the disbursement during the Inaugural Education Conference 2026 held at Lake Naivasha Resort.
1 May 2025
- Just two months after he warned that his life was in danger, Kasipul Member of Parliament Charles Ong'ondo Were was shot dead on Wednesday evening in Nairobi.
1 May 2025
- Erin Patterson, 50, is charged with three murders -- of the parents and aunt of her estranged husband -- and one attempted murder.
1 May 2025
- The changes were proposed during the Labour Day celebrations at Uhuru Gardens in Nairobi.
1 May 2025
- He says public universities previously on the verge of bankruptcy are now on the path to recovery.
1 May 2025
- Meru's growing anger could mark the tipping point in Ruto's grip on Mt Kenya East.
1 May 2025
- "We join his constituents, the people of the great county of Homabay, his family, colleagues and friends in mourning."
1 May 2025
- Cardinals will begin their secret conclave to elect the new leader of the global Church on May 7.
1 May 2025
- Kenya has reaffirmed its position as a continental climate leader with the submission of its Second Nationally Determined Contribution (NDC) to the United Nations Framework Convention on Climate Change (UNFCCC), outlining a bold vision for a climate-…