12 Mar 2026 1:37 pm | Citizen TV 296 views Duration: 1:52 Serikali imeanzisha mpango wa kuwafunza vijana 1,600 katika maeneo yanamokuzwa kahawa ili kufufua sekta hiyo na kuongeza uzalishaji kutoka tani elfu 50 hadi tani elfu 150 kwa mwaka katika kipindi cha miaka mitatu ijayo.