- 4,491 views
Wanafunzi wengi na wazazi wao wamejipata kwenye njiapanda baada ya kusafiri kwa ufunguzi wa shule bila kufahamu kuwa wizara a elimu imeahirisha ufunguzi wa shule kwa wiki mmoja. waziri wa elimu ezekiel machogu alitoa taarifa hiyo usiku wa manane na hivyo wazazi, wanafunzi na walimu hawakuwa na ufahamu walipoelekea maeneo mbalimbali kwa ufunguzi wa shule. Wanahabari wetu wanaangazia kizungumkuti hicho katika steni za magari ya uchukuzi wa umma na hata shuleni
Serikali imekashifiwa kwa kuchelewa kutoa taarifa ya kuahirishwa kwa kufunguliwa kwa shule
- 16 May 2024 - Singapore on Wednesday swore in Lawrence Wong as its new prime minister Wednesday, replacing Lee Hsien Loong following two decades in office, with the new leader warning that the trade-dependent city-state faced a riskier, more conflict-ridden world.
- 16 May 2024 - United States Ambassador to Kenya Meg Whitman has dismissed claims that she is among President William Ruto’s chief advisors.
- 16 May 2024 - Slovak Prime Minister Robert Fico suffered life-threatening injuries on Wednesday when he was shot and wounded in an attempted assassination that stunned his small Central European nation and drew a chorus of international condemnation.
- 16 May 2024 - U.S. Ambassador to Kenya Meg Whitman has seemingly expressed reservations about President William Ruto's plan to increase Kenya's tax rate from 14 percent to 22 percent by the end of his term.
- 16 May 2024 - The Limuru III meeting, pegged as a socio-economic and political gathering for Mt. Kenya region, has drawn interest from across the political divide, just two days before the meeting.
- 16 May 2024 - Intern doctors say KMPDU betrayed them in its return-to-work agreement with the government on the May 8, 2024.
- 16 May 2024 - New system to bring down cost of trade through Mombasa port
- 16 May 2024 - Revealed: Ruto still has interest in Huduma Namba
- 16 May 2024 - It's corruption that is stealing millions of young people's jobs
- 16 May 2024 - EACC recovers Sh3.2 billion prime property in Eldoret