Skip to main content
Skip to main content

Serikali kuhamisha shule ya msingi ya El Molo Bay

  • | Citizen TV
    316 views
    Duration: 2:50
    Serikali sasa itahamisha shule ya Msingi ya El Molo Bay iliyoko eneo la Loiyangalani, kaunti ya Marsabit kufuatia tishio la shule hiyo kuzama kutokana na kuongezeka kwa maji ya ziwa Turkana.