- 49 views
Wajir Magharibi, kaunti ya Wajir ;;; ingawa kuna mvua katika sehemu kadhaa humu nchini, ardhi hapa ni kavu;; mizoga ya wanyama ikiwa imetapakaa. Vifo vya wanyama hao vikiashiria kutoweka kwa riziki ya watu wa Wajir;;;;;;Hatma hiyo hiyo imewakumba wakazi wa Eldas na Wajir Kaskazini pia;;;;nats;;;;;Utapiamlo katika maeneo haya umefika asilimia 12 na idadi hiyo inayotarajiwa kuongezeka;;;;ups;;;;Takriban wahasiriwa laki-2 wa ukame katika eneo hili wamehama kutoka vijijini kwenda mijini;;;nats;;;;;Mama Habiba Abdi anatayarisha mtama kwa familia yake;;; ;ups;;;;hiki ndicho chakula pekee ambacho familia yake inapata. Mama Habiba hata hivyo ni miongoni mwa wachache waliobahatika;;;;;ups;;;;;; Halmashauri ya kitaifa ya kukabiliana na ukame imesajili familia elfu-147 zilizoathiriwa na ukame. Kati ya familia hizi, 19,201 zinapokea shilingi elfu- 2700 kwa mwezi, huku wengine elfu 127,799 wakihitaji msaada wa dharura;;;;ups;;;;;;; ;;;. Mshirikishi wa halmashauri ya kitaifa ya kukabiliana na ukame katika kaunti hiyo Abdulahi Halakhe alisema serikali inapanga kuzindua mpango wa elimu ya afya ya watoto ili kuiunganisha mpango wa kutoa fedha kwa wahanga wa njaa na lishe ili kusaidia familia katika mpango huo. Wakazi wa Wajir ni wafugaji ukosefu wa mvua katika eneo hilo umewafanya kukata tamaa kwa sababu hawana chakula cha kutosha kulisha mifugo wao. Gavana wa kaunti hiyo Ahmed Abdullah anasema dhana ya maisha ya kuhamahama sio endelevu;;;;;upsound;;;;; Sasa wanatoa wito kwa serikali na washirika wa maendeleo kuchukua hatua zaidi ili kupunguza athari za ukame
KBC Channel 1 brings you the Mashujaa Day 2023 celebrations held in Kericho County. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali kuhimizwa kushughlikia kwa haraka tatizo la viwango vya juu vya utapiamlo Wajir
- - LIVE| TV47 NEWS NOW ››
- 5 May 2024 - Ahead of the University of Michigan's commencement on Saturday, the school has trained staff volunteers on how to mitigate disruptions: a change from the usual duties of guiding guests around campus and showing them to their seats.
- 5 May 2024 - Hamas negotiators began intensified talks on Saturday on a possible Gaza truce that would see a halt to the fighting and the return to Israel of some hostages, a Hamas official told Reuters, with the CIA director already present in Cairo for the indirect…
- 5 May 2024 - Russia launched an overnight drone attack on Ukraine's Kharkiv and Dnipro regions, injuring at least six people and hitting critical infrastructure, commercial and residential buildings, regional officials said on Saturday.
- 5 May 2024 - At least 42 deaths have been recorded from a measles outbreak in just over a week in Nigeria's northeastern state of Adamawa, the state's health commissioner said on Friday.
- 5 May 2024 - German company HyImpulse successfully launched on Friday a candle wax-powered rocket capable of carrying commercial satellites on a test suborbital flight into space for the first time.
- 5 May 2024 - The death toll from rains in Brazil's southernmost state of Rio Grande do Sul rose to 56, local authorities said on Saturday morning, while dozens still have not been accounted for.
- 5 May 2024 - Residents evacuated in Coast as Cyclone Hidaya slams Tanzania
- 5 May 2024 - Ministry issues cholera alert amid floods, medics' strike
- 5 May 2024 - More families out in the cold amid fears flood crisis is getting worse
- 5 May 2024 - Ruto pushes House to entrench CDF in law