- 211 views
Serikali imetangaza kuwa ina mipango ya kununua ngano kutoka kwa wakulima kupitia halmashauri ya nafaka na mazao NCPB.. Katika mkutano wa wadau wa kilimo, waziri Mutahi Kagwe amesema serikali itanunua magunia elfu 321 za ngano kutoka kwa wakulima wanaotatizika kwa kukosa soko..Wakulima hao wakitakiwa kuwasilisha mazao yao kwa maghala ya NCPB kuanzia kesho jumanne..Kulingana na waziri wakulima watalipwa katika muda wa siku 30 baada ya kuwasilisha ngano kwa NCPB. Mbali na hayo NCPB itatia saini mkataba wa maelewano na wasagaji nafaka ili kuhakikisha ngano inachukuliwa na malipo kutolewa katika muda wa wiki tatu
Serikali kununua ngano
- 23 Aug 2025 - Celebrated film producer and lecturer Zippy Okoth has opened up about her blossoming relationship with her partner, travel
- 23 Aug 2025 - Ten children who were kidnapped in restive northern Cameroon last week have been freed in a rescue operation, but one captive died, according to the regional governor.
- 23 Aug 2025 - The Head of Presidential Special Projects & Creative Economy, Dennis Itumbi, has proposed that a football match between
- 23 Aug 2025 - Slain Meru blogger Daniel Muthiani, alias Sniper, has been laid to rest, 19 months after his death.
- 23 Aug 2025 - Veteran actress and radio presenter Jacqueline Nyaminde, widely known as Wilbroda, has for the first time opened up
- 23 Aug 2025 - Puzzle of three Kenyan women, foreign jails and drug trafficking ring
- 23 Aug 2025 - Two days before his wedding, Noor Muhammad had a long phone call with his mother, just hours before devastating floods in Pakistan killed her along with 23 family members and relatives.
- 23 Aug 2025 - A Mombasa blogger who earlier claimed he was kidnapped and sodomized is now accusing the Witness Protection Unit of abandoning him at his point of greatest need.
- 23 Aug 2025 - Slain Meru blogger Daniel Muthiani, widely known as Sniper, has been laid to rest, 19 months after his
- 23 Aug 2025 - Four more bodies have been exhumed from Kwabinzaro, bringing the total recovered since Thursday to nine.