Skip to main content
Skip to main content

Serikali kuongeza pesa za kukabiliana na magonjwa ya akili

  • | Citizen TV
    188 views
    Duration: 1:43
    Waziri wa afya Aden Duale amewahakikishia wakenya kwamba serikali imeweka mipango ya afya ya akili katika ajenda yake ya afya ya kitaifa ili kuhakikisha hali sahihi ya akili zao katika maisha yao ya kila siku.