Skip to main content
Skip to main content

Serikali kuu yarejesha usimamizi wa Mbuga ya Amboseli kwenye kaunti ya Kajiado

  • | Citizen TV
    234 views
    Duration: 3:32
    Siku Chache baada ya wizara ya Utalii kuchapisha mchakato wa kuhamisha mbuga ya Kitaifa ya Amboseli hadi Kwa serikali ya Kajiado kwenye gazeti Rasmi la Serikali , Bunge la Kajiado Kajiado linatarajiwa kuwasilisha mswada huo kwenye vikao vya bunge Mshinani juma lijalo katika eneo la Amboseli.