- 755 views
Katibu wa Wizara ya Afya nchini Mary Muthoni ameongoza hafla ya kuandikisha wananchi kupokea neti za kuzuia mbu wanaosababisha malaria katika kaunti ya Nyamira. Kama njia moja ya kukabiliana na maambukizi ya ugonjwa wa malaria nchini, serikali kwa ushirikiano na wafadhili wengine ina mpango wa kuwasilisha neti milioni 15.3 katika kaunti 22, huku kaunti ya Nyamira inatarajia kupokea zaidi neti zaidi ya laki tano nayo kaunti jirani ya ya Kisii ikitarajiwa kupokea zaidi ya neti 900,000. Usajili huo unatarajiwa kukamilika hii leo katika kaunti hiyo ya Nyamira ambapo zaidi ya asilimia tisaini ya wananchi wamesajiliwa.Katibu huyo amewashauri wananchi kuchukua bima ya afya ili kugharamia matibabu katika hospitali za umma kote nchini.
Serikali kuwasilisha neti za kuzuia mbu Nyamira
- - Thika | AREA CODE ››
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - At least 50 people are dead following a fresh bout of heavy rain and flooding in central Afghanistan, an official said on Saturday.
- 18 May 2024 - “Learners screamed for help. Everything was burnt to ashes," narrated a teacher who witnessed the incident.
- 18 May 2024 - At least eight people have been confirmed dead after a bus they were travelling in plunged into a river in Gataka area on the border between Nairobi and Kajiado North.
- 18 May 2024 - The government has announced plans to build a new Ministry of Foreign Affairs headquarters in Nairobi.
- 18 May 2024 - Reading Time: 2 minutes The Kenya Women’s U17 National Team, the Junior Starlets, are intensifying their preparations for the second leg of their FIFA […]
- 18 May 2024 - Some of Donald Trump's allies are assembling proposals to curtail the Justice Department's independence and turn the nation's top law enforcement body into an attack dog for conservative causes, nine people involved in the effort told Reuters.
- 18 May 2024 - Reading Time: < 1 minute At least 50 p****e are dead following a fresh bout of heavy rain and flooding in central Afghanistan, an official […]
- 18 May 2024 - Puzzle of 2,000 absentee pupils in flood-ravaged Mai Mahiu school