Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya Belarus yatoa msaada wa kibinadamu nchini Kenya

  • | Citizen TV
    1,831 views
    Duration: 1:24
    Serikali ya Belarus imetoa msaada wa kibinadamu wenye thamani ya takribani Shilingi milioni 23 kusaidia juhudi za kukabiliana na maafa nchini Kenya.