Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya kajiado yalaumiwa kwa kuongeza ushuru wa ardhi

  • | Citizen TV
    553 views
    Duration: 3:12
    Serikali ya Kaunti ya Kajiado imekuwa ikikiuka uamuzi wa mahakama uliotupilia mbali nyongeza ya ushuru kwenye vipande vya ardhi hadi shilingi 7,500 kama ilivyokuwa imependekezwa. Katika uamuzi uliotolewa tarehe 19 mwezi uliopita, mahakama iliamuru wazi kuwa kiwango halali cha ushuru ni shilingi elfu moja mia tano pekee