- 202 views
Siku moja baada ya Wanachama wa Kundi la Oldonyonyokie, huko magadi kaunti ya kajiado kulalamikia njama ya ardhi yao kunyakuliwa na watu ambao si wanachama wa kundi hilo la malisho, Serikali ya kaunti ya Kajiado kwa ushirikiano na bodi ya ardhi kaunti hiyo imepiga marufuku shughuli zote kwenye ardhi hiyo hadi tarehe 19 mwezi ujao wakati ambapo mkutanao wa wanachama utaandaliwa.Akitoa Tangazo hilo baada ya mkutano na bodi hiyo, Gavana wa Kajiado Joseph Ole Lenku anasema hatua hiyo itatuliza hofu iliyokuwepo na kutoa nafasi kwa wanachama kuamua njia ya kugawanya ardhi hiyo.
Serikali ya kaunti ya Kajiado yapiga marufuku shughuli zote kwenye ardhi ya Oldonyonyokie
- - 🔴 TV47 LIVE ››
- - 2025 08 09 21 18 16 ››
- 10 Aug 2025 - India shot down five Pakistani fighter jets and one other military aircraft during clashes in May, India's air force chief said on Saturday, the first such statement by the country months after its worst military conflict in decades with its neighbour.
- 10 Aug 2025 - Haiti's former national palace security chief, Vladimir Paraison, was appointed national police chief by the country's transitional government on Friday, as the Caribbean nation looks to battle armed gangs that have displaced over a million people.
- 10 Aug 2025 - The commerce department has started issuing licenses to Nvidia to export its H20 chips to China, a U.S. official told Reuters on Friday, removing a significant hurdle to the AI bellwether's access to a key market.
- 10 Aug 2025 - DP Kindiki's national economic empowerment programme stirs debate
- 10 Aug 2025 - Pride is our nation's real pandemic and only humility can save leaders
- 10 Aug 2025 - 'Dr Aden' fears journos' questions more than a cold July morning
- 10 Aug 2025 - How Ruto's goofs created a US-China dilemma
- 10 Aug 2025 - Trump's hand in relocation of UN bodies from New York to Nairobi
- 10 Aug 2025 - Ruto and allies flirting with danger by chest thumping about 2027 poll
- 10 Aug 2025 - Which way to resolve late funds disbursement to counties?