Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya Kaunti ya Migori kupitia Idara ya Afya imezindua usambazaji wa dawa ya kuzuia ukimwi

  • | Citizen TV
    174 views
    Duration: 1:47
    Serikali ya Kaunti ya Migori, kupitia Idara ya Afya, imezindua usambazaji wa dawa ya kuzuia virusi vya Ukimwi kwa sindano, Lenacapavir, katika juhudi za kupunguza kasi ya maambukizi ya HIV katika kaunti hiyo..