Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya kaunti ya migori yatoa ruzuku sokoni Marindi

  • | Citizen TV
    197 views
    Duration: 1:34
    Wafanyabiashara kutoka Soko la Marindi katika Kaunti ya Migori wapokea ruzuku kusaidia kufufua biashara zao miezi michache baada ya mafuriko mabaya kuharibu eneo hilo, kuharibu mali na kuvuruga maisha.