Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya kaunti ya Turkana imenunua na kusambaza dawa katika hospitali za kaunti hiyo

  • | Citizen TV
    53 views
    Duration: 1:52
    Serikali ya kaunti ya Turkana imenunua na kusambaza dawa pamoja na vifaa vya matibabu za zaidi ya shilingi milioni tisini katika zahanati na hospitali za kaunti hiyo.