- 137 views
Serikali ya kaunti ya uasin gishu imewasimamisha kazi maafisa wake waliohusika katika sakata ya kuwapeleka wanafunzi katika taifa la Finland. Wanafunzi hao wanakabiliwa na hatari ya kufurushwa katika vyuo walivyojiunga navyo baada ya pesa waliolipa kudaiwa kufujwa na watu fulani. Gavana wa Uasin Gishu Jonathan Bii ametangaza kwamba serikali yake imesitisha shughuli zote za kupeleka wanafunzi katika mataifa ya kigeni huku uchunguzi wa sakata hiyo ukiendelea.
Serikali ya kaunti ya Uasin Gishu imewasimamisha kazi maafisa waliowapeleka wanafunzi Finland
- - Thika | AREA CODE ››
- 18 May 2024 - EACC has recommended the prosecution of politician Cyrus Jirongo, FKF President Nick Mwendwa and former Sports PS Amb. Peter Kaberia.
- 18 May 2024 - Fico was gravely injured after being shot in the small town of Handlova on Wednesday
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - The suspects had been slaughtering 30 donkeys near River Sagana.
- 18 May 2024 - Detectives noted they were in the process of conducting investigations.
- 18 May 2024 - The MP asked Raila to heed to the cries of suffering Kenyans
- 18 May 2024 - The Catholic church has changed its rules on judging miracles as it seeks to avert scandals. The rules come into effect on Sunday, May 19.
- 18 May 2024 - Sports fans will find a lot of interesting things on the bookmaker's platform
- 18 May 2024 - Kenya calls for reforms and more say in global lending institutions