- 208 views
Serikali ya Kaunti ya Trans Nzoia imetoa onyo kwa mashirika yanayotoa mikopo ya bodaboda kutotumia vibaya leseni za kutoa huduma na kuwalaghai waendeshaji bodaboda kaunti hiyo. Akizungumza katika hafla ya kutoa fursa kwa wahudumu wa bodaboda kupata mikopo ya pikipiki mpya, waziri wa biashara wa kaunti ya Trans Nzoia, Patrick Gacheru, amesema hawatasita kuwachukulia hatua mashirika yatakayokuwa yanawanyanyasa waendeshaji bodaboda. Haya yanajiri huku takwimu kutoka Idara ya Biashara zikionyesha kuwa sekta ya bodaboda imeajiri zaidi ya watu 80,000, na inachangia pakubwa nafasi za ajira miongoni mwa vijana
Serikali ya Trans Nzoia yaonya mashirika ya mikopo dhidi ya kuwanyanyasa waendeshaji bodaboda
- 12 Jul 2025 - The family of Julia Njoki is demanding justice for their daughter as they remain unconvinced about the circumstances surrounding her death after the Saba Saba protests.
- 12 Jul 2025 - In a sharp rebuttal, Kindiki described the claims as “laughable” and “a clear sign of panic” within opposition ranks.
- 12 Jul 2025 - Kenya Power has announced scheduled power interruptions in several parts of the country on Sunday, July 13, 2025,
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has reappointed former judge of the East African Court of Justice Charles Nyachae as the Chairperson of the Kenya School of Government for a three-year term.
- 12 Jul 2025 - ." Boakai confirmed his education was indeed in Liberia.
- 12 Jul 2025 - A Director at Mara Ndovu Lodge Limited was arraigned before the Milimani Law Courts over charges of defrauding an unsuspecting victim out of Ksh.48.8 million in a sham investment deal.
- 12 Jul 2025 - Petitioner says by stepping aside Lagat should be deemed to have resigned.
- 12 Jul 2025 - The victim, an Ethiopian national, was reportedly attacked with a kitchen knife following a disagreement with a co-worker.
- 12 Jul 2025 - A US citizen was beaten to death and a Palestinian shot and killed when Israeli settlers attacked Sinjil.
- 12 Jul 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has declared that the government will unleash the same energy used to combat