Skip to main content
Skip to main content

Serikali yaanzisha mpango wa kukabiliana na mbegu ghushi nchini

  • | Citizen TV
    507 views
    Duration: 3:40
    Serikali imeanzisha mpango wa kukabiliana na mbegu ghushi nchini kwa kuhakikisha inazalisha mbegu za kutosha. Hatua hiyo inalenga kuwaepushia hasara wakulima ambao mara nyingi huangukia katika mtego wa matapeli wanaotumia uhaba wa mbegu kuwauzia bidhaa zisizo halali.