- 26 views
Viongozi wa kidini na kijamii katika kaunti ya Kisumu wanaitaka serikali ya kitaifa na serikali ya kaunti hiyo kutilia maanani miradi inayowalenga vijana ili kukabiliana kikamilifu na ongezeko la visa vya uhalifu hususan katika mitaa ya mabanda.Mwenyekiti wa Baraza la kitaifa la makanisa humu nchini askofu Clement Otieno na mwenzake wa baraza la waislamu sheikh Juma Kamsur walisema kuwa ukosefu wa fursa za kujiendeleza umewapotosha vijana humu nchini wanaogeukia shughuli za uhalifu ambazo zinaibua taharuki miongoni mwa wakazi wa kaunti hiyo .Viongozi hao wanahimiza kuwepo kwa mipango madhubuti ya kukabiliana na uraibu wa dawa za kulevya miongoni mwa vijana
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali yahimizwa kuwajumuisha vijana katika miradi
- - Chacha mwita CD1 ››
- 1 Jul 2025 - Principal Magistrate Judicaster Nthuku on Monday ruled that each of the suspects be released on a personal bond of Ksh.100,000 with two sureties of a similar amount.
- 1 Jul 2025 - Members of Parliament have endorsed a Bill seeking to prohibit public gatherings near Parliament and all protected areas.
- 1 Jul 2025 - Karua accused the DCI of failing to produce Kinyagia, despite an active habeas corpus application and growing public concern.
- - KPA grain bulk license issued unconstitutionally, Supreme Court declares
- 1 Jul 2025 - During a media briefing on Monday, Amin defended his earlier statement to the Senate, claiming that his account of the events leading up to Ojwang's death was a verbatim reading of entries from official police records, not a personal interpretation or…
- 1 Jul 2025 - The Ksh.505 million corruption case against former Migori Governor Okoth Obado, four of his children, and several co-accused resumed today before the Anti-Corruption Court.
- 1 Jul 2025 - Ogamba also highlighted one notable achievement during this year's application cycle.
- - Activist disrupts court, demands answers on missing blogger Ndiang’ui
- 1 Jul 2025 - The deadly clampdown on online activism is a major attack on digital rights in one of the world’s most tech-savvy nations.
- 1 Jul 2025 - A 20-year-old female patient who underwent the complex procedure is recovering at home