Skip to main content
Skip to main content

Serikali yaidhinisha ujenzi wa miundomsingi ya unyunyiziaji maji huko Ahero

  • | Citizen TV
    392 views
    Duration: 2:36
    Serikali sasa imeidhinisha ujenzi wa miundombinu ya unyunyuziaji wa maji katika eneo la Ahero kaunti ya Kisumu, ambayo itatumia nishati za jua. Akihudhuria hafla ya kukagua ujenzi wa mtambo wa sola, waziri wa maji Eric Mugaa alielezea umuhimu wa unyunyuziaji katika kuimarisha uwepo wa lishe humu nchini