Skip to main content
Skip to main content

Serikali yalenga kuboresha miundo msingi bandarini Mombasa

  • | Citizen TV
    895 views
    Duration: 1:45
    Serikali inalenga kuboresha miundo mbinu katika sekta ya uchukuzi kama njia moja wapo ya kupiga jeki sekta hiyo na ile ya uchumi wa taifa. Bandari ya Mombasa pamoja na barabara kuu zinazounganisha Kenya na mataifa ya ukanda wa Afrika Mashariki zikilengwa zaidi ili kupanua uchumi wa taifa.