Skip to main content
Skip to main content

Serikali yapendekeza faini za papo hapo kwa makosa ya trafiki

  • | Citizen TV
    542 views
    Duration: 3:18
    Watu 5000 waliaga dunia kufuatia ajali za barabarani mwaka jana, ikiwa idadi ya juu zaidi ikilinganishwa na mwaka wa 2024. Haya yamezungumzwa huku rais William Ruto akitangaza kwamba kamera za kuwanasa wavunjaji sheria za trafiki zitaanza kutumika kwa muda wa mwezi mmoja ujao. Rais akionya watakaokiuka sheria kuwa tayari kwa faini za papo hapo.