- 124 views
Serikali sasa inanuia kuongeza ada ya hazina ya bima ya matibabu kwa wafanyakazi baada ya Rais William Ruto kutoa mapendekezo mapya. Pendekezo ni kwa Wafanyakazi kulipa ada ya asimilia 2.7 ya mshahara huku wakenya wasio na ajira wakitarajiwa kulipa shilingi elfu moja kwa mwezi. Kulingana na rais Ruto, malipo hayo yatasaidia kulainisha malipo katika bima ya afya, na kufanikisha ajenda ya afya bora kwa wote. Hata hivyo, tayari hatua hiyo imeibua hisia kinzani kutoka kwa wakenya
Serikali yapendekeza kuongeza ada za NHIF
- - Duniani Leo ››
- 11 Aug 2025 - President Donald Trump said Sunday that homeless people must be moved "far" from Washington, after days of musing about taking federal control of the US capital where he has falsely suggested crime is rising.
- 11 Aug 2025 - A man has survived clinging to the outside of an Austrian high-speed train, Austria's state railway said Sunday, reportedly after it left whilst he was having a cigarette break.
- 11 Aug 2025 - A heavy cloud hangs over Kotombo village in Nyakach, Kisumu County. Grief-struck residents walk from house to house, condoling with those in mourning, their faces showing the agony of the calamity that befell two clans in this village.
- - Ugandan soft ground where men and women wrestle in mud
- 11 Aug 2025 - Wild cheers, wild bites: Football meets game meat in Dar es Salaam
- 11 Aug 2025 - Nairobi Hospital in battle for survival as creditor in court seeking liquidation
- 11 Aug 2025 - Chirchir urges MPs to back proposed road tolling policy
- 11 Aug 2025 - Gachagua, Ruto and Uhuru face crucial Mt Kenya by-election test
- 11 Aug 2025 - Wamatangi takes Thika smart city push to Senate
- 11 Aug 2025 - Mothers at risk as bleeding detectors run out