- 108 views
Waziri wa elimuMigosi Ogamba amekariri kwamba sera ya serikali kuhusu mgao wa fedha kwa wanafunzi wa shule za sekondari haijabadilika licha ya wasiwasi unaoongezeka kuhusiana na kupunguzwa kwa ufadhili katika kiwango cha shule.. Akiwahutubia wanahabari kaitka kaunti ya Kisii waziri Ogamba alisema kuwa mgao rasmi wa wizara hiyo kwa kila mwanafunzi utasalia kuwa shilingi 22,244, kiasi kilichowekwa chini ya mpango wa elimu ya shule za sekondari za kutwa bila malipo lakini akakiri kwamba kuna vikwazo vya bajeti katika kutimiza kiasi hicho kutokana na ongezeko la idadi ya wanafunzi. Hata hivyo Ogamba anapendekeza kujumuishwa pamoja kwa basari zote za elimu ili kushughulikia ongezeko la idadi ya wanafunzi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali yasema hakuna mabadiliko katika mgao kwa shule
- - Duniani Leo ››
- 2 Aug 2025 - The potato is one of the world's food staples, first cultivated thousands of years ago in the Andes region of South America before spreading globally from the 16th century. But despite its importance to humankind, the evolutionary origins of the potato…
- 2 Aug 2025 - Rwanda and the Democratic Republic of Congo held the first meeting of a joint oversight committee on Thursday, taking a step toward implementing a peace deal agreed last month in Washington even as other commitments are yet to be fulfilled.
- 2 Aug 2025 - MC Fullstop had spent over three decades in the media and entertainment industry.
- 2 Aug 2025 - Two jihadist attacks in northeastern Burkina Faso early this week killed "several dozen" soldiers and civilians, two security sources and a local source told AFP on Friday.
- 2 Aug 2025 - The crash happened on Friday night.
- 2 Aug 2025 - Outrage over unexplained salary deductions following contested collective bargaining agreement.
- 2 Aug 2025 - The Tribunal further directed Keville to withdraw a YouTube takedown notice issued against Matata’s song within 48 hours, failing which YouTube must reinstate the video “in the Claimants’ favour.”
- 2 Aug 2025 - In a moment of pure drama, the journalist stepped forward and landed a hot slap on the MP’s cheek.
- 2 Aug 2025 - Kenyan woman's stove that's redefining climate action, health
- 2 Aug 2025 - Nurses strike looms over pay, broken deals