- 102 views
Idara ya polisi, kupitia kitengo cha DCI sasa inawahakikishia wakenya kwamba inachunguza kwa kina kesi zote za watu walioripotiwa kupotea nchini, huku kesi nyingi zikiwa bado zinashughulikiwa mahakamani, nyingine zikiendelea kuchunguzwa.Hili linajiri huku vijana wanne kati ya sita walioripotiwa kupotea kwa zaidi ya siku kumi na tano zilizopita wakitangamana tena na familia zao. Wakati huo huo, vijana wasomi wa kanisa la kiadventista sda wanaishurutisha serikali kuachilia kwa Kibet Bull na vijana wengine waliotekwa nyara nchini Kibet ni nduguye Rony Kiplagat, ambaye pia alitekwa nyara na kuachiliwa leoNE
Serikali yasema inaendeleza uchunguzi kuhusu utekaji nyara
- 16 Aug 2025 - Italian authorities on Friday sought to identify the bodies of 27 people who died when two crowded boats sank off the Mediterranean island of Lampedusa.
- 16 Aug 2025 - US President Donald Trump and Russian counterpart Vladimir Putin will meet on Friday in Alaska in a high-risk summit that could prove decisive for the future of Ukraine.
- 16 Aug 2025 - The Nairobi Hospital has announced the suspension of its recent price adjustments following consultations with key insurance partners, who had initially withdrawn their services, leaving patients stranded.
- 16 Aug 2025 - Homicide detectives on Friday returned to Kwa Binzaro in preparation for the planned exhumation of eight graves that had been discovered late last month.
- 16 Aug 2025 - Court thwarts bid for direct payments for call-back tunes
- 16 Aug 2025 - Dancing and ululations at State House won't revive the economy
- 16 Aug 2025 - Child sex trade report exposed why Kenya should act urgently
- 16 Aug 2025 - Runway row puts training of future pilots in jeopardy
- 16 Aug 2025 - China hits US over cold-war tactics on aid to Kenya and trade threats
- 16 Aug 2025 - Kenyans to governors: Find something better to do with your time