Skip to main content
Skip to main content

Serikali yasisitiza marufuku ya uagizaji wa sukari kutoka nje

  • | Citizen TV
    176 views
    Duration: 1:26
    Serikali imesisitiza marufuku ya uagizaji wa sukari kutoka nje na kusitisha utoaji wa leseni mpya za uagizaji huku maandalizi ya uchaguzi wa wakurugenzi wa wakulima katika Bodi ya Sukari yakiendelea