- 70 views
Viongozi wa kisiasa, kidini na wananchi, wametoa wito kwa vyombo vya usalama kuharakisha uchunguzi na kuwafungulia mashtaka washukiwa wa mauaji ya Lucy Wamaitha. Lucy Wamaitha mwenye umri wa miaka 32 ambaye alikuwa akifanya kazi katika shirika moja lisilo la serikali katika kaunti ya Kiambu, alitoweka mnamo Januari 16 mwaka huu akiwa kwenye ziara ya kikazi akiambatana na mkubwa wake kazini. Inadaiwa alitoa taarifa kuhusu matumizi mabaya ya fedha katika shirika hilo. Sehemu za mwili wake zilipatikana baadaye kwenye mfuko zikiwa zimetupwa katika mto Sagana.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali yatakiwa kuwawajibisha wauaji wa Lucy Wamaitha
- 18 Apr 2025 - Two joint Somali-U.S. airstrikes killed 12 al Shabaab militants in central Somalia and destroyed a ship carrying weapons for the al Qaeda-linked group, the Somali government said on Thursday, following recent advances by the Islamists.
- 18 Apr 2025 - A still-convalescing Pope Francis said Thursday he was doing "as best I can" as he visited inmates at Rome's central jail before Easter.
- 18 Apr 2025 - Matiang'i has been engaged as an employee of the World Bank based in Washington DC.
- 18 Apr 2025 - In a region long plagued by service delivery delays and missed opportunities, a quiet but impactful shift is taking place, ushered in not with grand fanfare but through technology that now delivers national identity cards within just seven days. While…
- 18 Apr 2025 - Sudan has implored MPs to use their constitutional mandate to stop President William Ruto from interfering with its internal affairs. Sudan, while lamenting the hosting of the Rapid Support Forces (RSF), alleged that Kenya is set to invite the…
- 18 Apr 2025 - PS Oluga faces SHA challenges as he takes over office
- 18 Apr 2025 - Mbadi, Nyoro differ on Kenya's debt situation
- 18 Apr 2025 - Gangland: Signs that gangs are running fearless show
- 18 Apr 2025 - Beja is the new millionaire in town
- 18 Apr 2025 - Nakuru and KDF boxers shine in Kenya Open Championships