Skip to main content
Skip to main content

Serikali yatangaza faini za papo hapo za makosa ya trafiki

  • | Citizen TV
    2,987 views
    Duration: 2:15
    Serikali sasa inasema itaanzisha faini ya papo hapo kwa wanaovunja sheria za trafiki, huku Rais William Ruto akitangaza mpango wa kutumia kamera za trafiki kuwanasa wanaokiuka sheria barababarani, kutoka mwezi aprili mwaka huu.