- 296 views
Waziri wa usalama wa kitaifa Profesa Kithure Kindiki ametangaza mpango wa kushughulikia maslahi ya maafisa wa polisi ili kuwapa motisha katika utendakazi wao. Miongoni mwa Masuala yatakayojadiliwa katika vikao vitakavyojumlisha maafisa na umma ni mishahara yao ambayo waziri kindiki amekiri kua ni ya kiwango cha chini. Waziri huyo alizungumza alepotembelea chuo cha mafunzo cha maafisa wa polisi eneo la Embakasi akiandamana na inspekta jenerali wa polisi Japhet Koome akiongeza kuwa katika siku za usoni polisi hawatahusishwa katika shughuli za kisiasa ambazo hazipo kwenye maelezo ya kazi zao. Maslahi ya maafisa hao yanatarajiwa kushughulikiwa hivi karibuni kama jambo la dharura.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #usalama #News #polisi #kithurekindiki
Serikali yatangaza hatua za kuboresha utendakazi wa polisi
- - Duniani Leo ››
- 14 Jul 2025 - Naomi Angela Wafula from Vipingo Ridge Golf Resort in Kilifi makes history in Kenya’s golf history after fighting for her place in the big boys category by becoming the first female member of the Professional Golfers of Kenya (PGK). Her consistency in…
- 14 Jul 2025 - Kwale County has intensified efforts to combat drug and substance abuse, with more than 1,500 youth undergoing methadone treatment as part of a wider initiative to rescue and rehabilitate addicts across the region. Speaking during a public awareness…
- 14 Jul 2025 - The two leaders command a solid support base key in determining the presidential contest.
- 14 Jul 2025 - Why State has resorted to terrorism charges
- 14 Jul 2025 - Kenya's exports brace for Sh13b blow as Trump tariffs resume
- 14 Jul 2025 - Syphilis infections rise sharply with women most hit
- 14 Jul 2025 - With IEBC in place, country prepares for mini elections
- 14 Jul 2025 - Missed vaccination risks a child's life as eradicated diseases return
- 14 Jul 2025 - Ruto's multiple problems and why they are not likely to fizzle out soon
- 14 Jul 2025 - Missing bullets in demo victims spark questions