Skip to main content
Skip to main content

Serikali yatetea hatua zake baada ya kusitishwa kwa mgomo wa uchukuzi

  • | Citizen TV
    951 views
    Huku wadau wa sekta ya usafiri wakisitisha mgomo dhidi ya bei za juu za mafuta, serikali ya Rais William Ruto imejitokeza kutetea jinsi ilivyoshughulikia mgogoro huo. Huku Rais akiwakosoa wale anaosema wanajaribu kujinufaisha kisiasa kutokana na mgogoro wa kitaifa, naibu wake Kithure Kindiki alitetea nafasi yake katika kufanikisha suluhu ya kusitisha mgomo na maandamano yaliyotokea