Skip to main content
Skip to main content

Serikali yazindua mfumo wa kutathmini biashara ndogo nchini

  • | Citizen TV
    310 views
    Duration: 1:08
    Kenya imezindua mpango wa kutathmini ukuaji wa biashara za wastani na ndogondogo katika kaunti zote 47. Mpango huu ulizinduliwa kwenye hafla ya mauzo ya Afrika maarufu chanuka jipange iliyofanyika katika ukumbi wa all Saints Cathedral hapa jijini Nairobi.