8 Jul 2026 1:21 pm | Citizen TV 226 views Duration: 1:58 Serikali imezindua mradi wa umwagiliaji unaolenga kuimarisha uzalishaji wa kilimo kupitia matumizi ya mifumo ya kunyunyizia mimea maji katika eneo la Gwa Kiongo, Mirangine, kaunti ya Nyandarua.