- 355 viewsDuration: 2:34Mamlaka ya Bima ya Afya ya SHA imerejea tena mahakamani kufuatia kesi iliyowasilishwa kupinga uhalali wake. Mkenya Francis Awino, aliyefungua kesi hiyo, anadai kuwa mamlaka hiyo inatekeleza majukumu kinyume cha sheria. Anaiomba Mahakama izuie SHA kukusanya ada kutoka kwa Wakenya, kufanya malipo au kutoa huduma kwa namna inayofanana na kampuni za bima.