25 Feb 2026 8:05 pm | Citizen TV 295 views Duration: 56s Timu ya Shabana Fc ilipata bao kadika muda wa lala salama na kuibwaga Mathare united kwa bao 1-0 kwenye mechi ya ligi kuu katika uwanja wa kitaifa wa nyayo. Hii ilikuwa moja ya mechi tatu za ligi kuu kuchezwa hii leo