Shambulizi la Israel laharibu jengo, mwanafunzi aeleza hofu iliyowagubika
Syria imesema Jumatano kuwa mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Israeli yamepiga makazi ya raia huko Damascus, na kuua watu wasiopungua wawili.
Shirika la Habari la Syria lilisema mashambulizi hayo yamefanyika katika kitongoji cha Kfar Sousseh, ambacho ni makao makuu ya usalama na jeshi.
Hakuna maelezo ya haraka kuhusu shambulizi hilo kutoka kwa jeshi la Israeli, ambalo lilifanya mashambulizi kadhaa nchini Syria katika miaka ya karibuni.
Ni nadra kwa Israel kukiri kufanya mashambulizi lakini imesema hatua zake huko Syria zinalenga majeshi yanayo ungwa mkono na Iran.
Shambulizi la anga la mwezi Februari 2023 limepiga ujirani ule ule kama ilivyokuwa kwa shambulizi la Jumatano, lililouwa wataalam wa kijeshi kadhaa wa Iran. - VOA, AP, AFP, Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #iran #syria.
12 Jul 2025
- This came after KeRRA and KeNHA bosses stepped down in quick succession.
12 Jul 2025
- Kenya experiences an influx of fake goods into its market on a regular basis.
12 Jul 2025
- Samidoh was among the Mt Kenya artists who visited Kindiki in Karen.
12 Jul 2025
- Clinicians in Machakos County have officially called off a planned strike just two hours before its scheduled commencement, which was to start at midnight on Saturday.
12 Jul 2025
- Iranian authorities carried out on Saturday a public execution of a man convicted of raping and murdering a young girl, the judiciary said.
12 Jul 2025
- Gaza's civil defence agency said Israeli forces killed 18 people on Friday, including 10 who were waiting for aid in the south of the war-ravaged territory.
12 Jul 2025
- At least seven people have been confirmed dead following a tragic road accident involving a lorry transporting tea leaves and a public service matatu at Kijauri Market in Borabu Constituency.
12 Jul 2025
- A son of Mexican drug kingpin Joaquin "El Chapo" Guzman pleaded guilty to drug charges in Chicago on Friday in a deal struck with prosecutors in return for a reduced sentence.
12 Jul 2025
- There is a need to raise awareness on gender–land–climate nexus to strengthen the role of women parliamentarians and duty bearers in gender-responsive land and climate policy-making.
12 Jul 2025
- A court in Madagascar has sentenced a man to surgical castration for the rape of a child in 2024, a judicial official said, in the first such measure on the Indian Ocean island.
12 Jul 2025
- According to the police, the suspect allegedly attacked the deceased after reportedly finding him buying sukuma wiki from his wife.
12 Jul 2025
- At the time of the crash, one engine was regaining thrust while the other had relit but had not yet recovered power.
12 Jul 2025
- “The Kambas who were behind him, they have left. The Kisis have left. The Luhyas have left. The Maasais have left. The Luo Nation is divided in the middle.”