Shambulizi la Wahouthi lasababisha vifo vya watu kadhaa
Jeshi la Marekani limesema Shambulizi la kombora lililofanywa na Wahouthi kwenye meli ya biashara ya bahari ya sham jumatano limesabaabisha vifo vya watu kadhaa.
Waasi wa Kihouthi wa Yemen wamedai kuhusika na shambulizi hilo, wakati msemaji wa jeshi amethibitsh ahilo kwenye maelezo yake kwenye televisheni.
Shambulizi hilo limesababisha moto katika meli inayomilikiwa na Ugiriki yenye bendera ya Barbados ya True confidence karibu maili 50 kutoka pwani ya bandari ya Yemen huko Aden.
Haya ni matukio ya kwanza ya vifo kuripotiwa tangu wa- Houthi waanze mgomo dhidi ya usafiri wa meli katika mojawapo ya njia za baharini zenye shughuli nyingi zaidi duniani katikati ya Novemba.
Wamesema wanafanya kazi kwa mshikamano na wapalestina kupinga hatua za kijeshi za Israel huko Gaza.
Uingereza na Marekani zimekuwa zikifanya mashambulizi ya kulipiza kisasi dhidi ya waasi wa Houthi na uthibitisho wa vifo unaweza kusababisha shinikizo kwa hatua kali za kijeshi.
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen
29 Apr 2024
- The proposal is in line with the government's plan to construct 100,000 kilometres of a national fibre optic line.
29 Apr 2024
- In this Newsletter, we are covering Museveni's tough talk at KICC and decision to lift ban for Ruto only.
29 Apr 2024
- Previously, foreigners were subjected to a vetting committee.
29 Apr 2024
- Kenya Railways announced that tickets purchased for travel by students between Monday, April 29, and Friday, May 3 will remain open for use from Monday, May 6 to Friday, May 10.
29 Apr 2024
- The High Court on Monday ordered former Murang’a Governor Mwangi Wa Iria to immediately present himself at the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) headquarters in Nairobi.
29 Apr 2024
- Togolese voted in legislative elections on Monday after a divisive constitutional reform that opponents say allows President Faure Gnassingbe to extend his family's decades-long grip on power.
29 Apr 2024
- Lilian Seenoi-Barr was selected by the Social Democratic and Labour Party (SDLP) to become the next mayor of Derry City and Strabane District Council.
29 Apr 2024
- Imagine turning on the tap, and instead of the comforting rush of water, there's only silence. This is the reality of residents of Sabatia, Vihiga County, where the spectre of non-revenue water (NRW) looms large, casting a shadow over daily life.
29 Apr 2024
- Nairobi Senator Edwin Sifuna has stated that the Nairobi County government is overwhelmed by the ongoing rains which have claimed many lives and left many displaced.
29 Apr 2024
- He had been stranded after he fell ill and could not walk to safer grounds
29 Apr 2024
- Police say most of the dead were women, children and elderly people who probably could not run fast enough.
29 Apr 2024
- Ojay said some of their players are currently being signed to other teams to feature in the final stage of BAL
29 Apr 2024
- The government has directed County Security and Intelligence Committees (CSICs) across the country to inspect all public and private dams and water reservoirs by 2 p.m. Tuesday.