Umati wa watu umesherehekea nchini Lebanon baada ya makubaliano mapya yaliyofikiwa ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Hezbollah.
Katika mji mkuu, Beirut na huko Israeli wananchi wametoa maoni na hisia tofauti kufuatia taarifa hizo.
Maelfu ya raia wa Lebanon wameanza kurejea makwao kusini mwa nchi hiyo, lakini Israel inaonya baadhi ya maeneo bado hayapo salama.
#bbcswahili #lebanon #beirut
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
21 Jul 2025
- Former Law Society of Kenya (LSK) President Eric Theuri has criticized the government’s decision to charge arrested protesters with terrorism-related offenses, calling the move "ridiculous" and lacking any legal foundation.
21 Jul 2025
- A gang of over 10 people raided a coffee factory in Mwea East, Kirinyaga County tied and injured two night watchmen before escaping with 26 bags of the farm product valued at 1.8 million.
21 Jul 2025
- The arrest triggered widespread public attention, with authorities claiming to have recovered items that raised national security concerns.