- 373 viewsDuration: 2:45Huku klabu ya raga ya Nakuru ikijitayarisha kuandaa mchuano wa raga ya 10 a side tarehe 3 hadi tano mwezi aprili, timu zaidi ya arobaini zinatarajiwa kushiriki. Klabu hiyo ikitumia fursa hiyo kusherehekea miaka 100 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1923. Nakuru RFC inajivunia wachezaji maarufu waliostaafu na wengine wakiwa wanachezea timu ya taifa ya raga ya Kenya.