Shinyanga: Mji unaotumia usafiri wa baiskeli kama daladala

  • | BBC Swahili
    1,313 views
    Je unafahamu kuwa nchini Tanzania kuna mji mkongwe ambao usafiri wake mkuu ni baiskeli? Kwa muda wa miongo mitano sasa, wakazi wake wameendelea kutegemea zaidi usafiri huo ambao unatambua baisikeli za uchukuzi wa umma kwa jina 'daladala'. Mwandishi wa BBC @lasteck2023 ametembelea mji huo wa Shinyanga uliopo Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo na kuandaa taarifa hii… 📸Nicholaus Mtenga #bbcswahili #tanzania #shinyanga