- 126 views
Wakazi wa Kaunti ya Laikipia watanufaika na matibabu ya bure ya mifupa kwa muda wa wiki mbili. Matibabau hayo yanatolewa na shirika la Future Health Africa kwa ushirikiano na hospitali ya rufaa ya Nanyuki. Matibabu haya yanalenga kuwafanyia upasuaji baadhi ya wagonjwa mia mbili hamsini wenye matatizo ya viungo na mifupa na kuwachunguza wagonjwa wengine 2,500 ambao wana shida mbalimbali za mifupa. kulingana na gavana wa kaunti ya Laikipia Joshua Irungu, kambi hiyo ya matibabu pia itawafaa wagonjwa kutoka kaunti jirani za Meru, Nyandarua, Isiolo, Samburu na Nyeri.
Shirika la 'Future Health Africa' latoa matibabu ya bure ya mifupa kwa wakaazi wa Laikipia
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 10 Jul 2025 - Elon Musk-owned X's CEO Linda Yaccarino said on Wednesday she would step down from the role in a surprise move, just months after the social media platform was acquired by the billionaire's AI startup, xAI.
- 10 Jul 2025 - Nigerians seeking to travel to the United States on non-immigrant visas will now receive single-entry three-month permits, the U.S. Embassy in Nigeria said, rolling back the up to five-year, multiple-entry visas they enjoyed previously.
- 10 Jul 2025 - Russia pummelled Ukraine early on Wednesday with its largest missile and drone attack in more than three years of war, claiming to have targeted an airfield in a region bordering Poland.
- 10 Jul 2025 - The US government said Wednesday it subpoenaed Harvard University for records linked to students allegedly involved in a wave of pro-Palestinian student protests that the Trump administration labeled anti-Semitic.
- 10 Jul 2025 - Kenya Wildlife Service Director General Erastus Kanga says the park can ecologically accommodate about 90 to 100 rhinos.
- 10 Jul 2025 - Applicants must undergo technical compliance checks, pay penalties, and submit documentation from licensed professionals.
- 10 Jul 2025 - President has also accused the Opposition of orchestrating a broader scheme to overthrow his government.
- 10 Jul 2025 - Businesses warn looting a threat to job creation and investments
- 10 Jul 2025 - Kenya, Tanzania border flagged as oil spill hotspot in new study
- 10 Jul 2025 - Supreme Court vs Sharia? Muslims split on inheritance for children born out of wedlock