- 68 viewsDuration: 3:04Shirika la maji la TANATHI limeelezea kusikitishwa kwake na ongezeko la uharibifu wa miradi ya maji inayotekelezwa na serikali . Afisa mkuu wa shirika hilo Sammy Naporos ameyasema hayo alipozuru miradi mbalimbali iliyotekelezwa na TANATHI kaunti ya Makueni.