Shirika la Mwezi Mwekundu la Palestina: Watu wanane wajeruhiwa
Kanda ya video kutoka Shirika la Mwezi Mwekundu la Palestina iliyotolewa Jumanne ikiwaonyesha wafanyakazi wao wakiwasafirisha kile walichosema watu wanane waliojeruhiwa katika mashambulizi ya mabomu katikati ya Gaza.
Reuters haikuweza yenyewe kuthibitisha video hii. Msemaji wa Shirika la Mwezi Mwekundu la Palestina ameiambia Reuters picha za kanda hiyo zilipigwa Jumanne huko Deir Al-Balah.
Mashambulizi ya angani na ardhini yanayofanywa na Israel yalianza baada ya wanamgambo wa Hamas wanaotawala Gaza walipowauwa watu 1,200 na kuwateka wengine 253 huko kusini mwa Israel Oktoba 7.
Wizara ya Afya Gaza inasema Wapalestina wasiopungua 27,585 wamethibitishwa kuuwawa katika kampeni ya kijeshi ya Israel, huku maelfu zaidi wakihofiwa kuzikwa ndani ya kifusi. .
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #iran
12 Aug 2025
- The government will also cover the medical expenses of all survivors.
12 Aug 2025
- The nominees will join several committees.
12 Aug 2025
- The Speaker has been on the detectives' radar.
12 Aug 2025
- Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen now says no public servant should openly oppose the government of the day, warning that such conduct is both illegal and unconstitutional.
12 Aug 2025
- DAP-K leader Eugene Wamalwa now says there is a plan by President William Ruto to infiltrate the political outfit through frivolous petitions seeking a change in leadership.
12 Aug 2025
- Long-delayed road projects in northern Kenya are set to resume after years of inactivity, Deputy President Kithure Kindiki has said, citing a new funding approach that has brought contractors back to site.
12 Aug 2025
- A woman has been arrested in Bondeni, Nakuru County for allegedly supplying cannabis and cannabis-laced cookies to minors in what authorities describe as a deliberate attempt to lure children into drug abuse.
12 Aug 2025
- The National Police Service Commission (NPSC) is facing mounting internal tensions that threaten to derail the planned recruitment of 10,000 new police officers this September.
12 Aug 2025
- The government will also cover the medical expenses of all survivors.
12 Aug 2025
- The nominees will join several committees.
12 Aug 2025
- "Your energy has carried us this far, and we are loving every moment of it," Harambee Stars told Kenyans
12 Aug 2025
- The DP said the decision by President William Ruto remains in force and is meant to do away with past discriminatory tendencies targeting some communities.
12 Aug 2025
- The Speaker has been on the detectives' radar.