Skip to main content
Skip to main content

Shirika la REREC litatumia Ksh.6.3b kusambaza umeme Magharibi

  • | Citizen TV
    106 views
    Duration: 1:27
    Wakaazi zaidi ya elfu mia moja kutoka eneo pana la Magharibi katika kaunti za Kakamega, Bungoma, Vihiga na Busia watanufaika na nguvu za umeme kutoka shirika la uzambazaji umeme mashinani REREC . Kulingana na mkurugenzi mtendaji wa REREC daktari Rose Mkalama, mpango huo utagharimu shilingi bilioni sita nukta tatu kwa kusambaza nguvu za umeme katika baadhi ya shule na hata masoko. Wenyeji wakishabikia mpango huo wakisema utaboresha biashara zao na kuwezesha kujikimu kimaisha.