Skip to main content
Skip to main content

Shirika la ustawishaji kilimo lakumbatia Teknolojia

  • | Citizen TV
    213 views
    Duration: 1:54
    Serikali kupitia Shirika la Ustawishaji Kilimo (ADC) imeanzisha mpango kabambe wa kuwaelimisha wakulima kuhusu umuhimu wa kukumbatia teknolojia ya kisasa katika uzalishaji wa mazao ili kuimarisha usalama wa chakula nchini