Shughuli ya kutafuta miili inaendelea Mathare

  • | Citizen TV
    6,349 views

    Shughuli ya kutafuta miili katika eneo la Mathare jijini Nairobi ziliingia siku ya tatu hii leo, huku familia zaidi zikiripoti kutoweka kwa jamaa zao. Haya ni huku zaidi ya familia 300, zilizoathiriwa na mafuriko katika eneo la Kiamaiko zikisitiriwa katika shule ya msingi ya Valley Bridge