- 102 views
Shughuli ya kuwasajili wakaazi wa kaunti ya Samburu katika bima ya afya ya SHA inaendelea, lakini unakumbwa na changamoto kubwa katika kufanikisha upokeaji mpana wa mpango huo. Kufikia mwishoni mwa mwaka 2024, ni takriban asilimia 5 tu ya wakazi wa kaunti ya Samburu, waliokuwa wamejisajili kwa mpango wa bima ya afya ya jamii (SHA), jambo linaloifanya kuwa miongoni mwa kaunti zenye viwango vya chini zaidi vya usajili wa kitaifa.
Shughuli ya kuwasajili wakaazi wa kaunti ya Samburu katika bima ya afya ya SHA inaendelea
- - Duniani Leo ››
- 19 Aug 2025 - Vehicles used to smuggle goods to be handed to the State, says judge
- 19 Aug 2025 - Justice on sale: How racketeers at Busia courts are exploiting suspects, widows
- 19 Aug 2025 - DPP challenges the acquittal of terror suspects in explosives case
- 19 Aug 2025 - Parliamentary group meeting turned stormy due to leaders' sustained accusations of bribery against the National Assembly.
- 19 Aug 2025 - Group C- Painful exit awaits either Uganda, Algeria, or South Africa
- 19 Aug 2025 - What was presented to rice farmers as a solution to weeds has now become a nightmare.
- 19 Aug 2025 - It is important for Kenyans who intend to apply for a U.S. visa to be aware of recent
- 19 Aug 2025 - Land has a vital role in sustaining human communities, nurturing diverse ecosystems, and regulating the climate of our planet.
- 19 Aug 2025 - Hustler-in-Chief woos vast youth voting bloc with empowerment schemes, start-up giveaways and skills, credit and jobs
- 19 Aug 2025 - Auditor cites inaccurate record keeping, unsupported expenditures as among the challenges.