- 24,765 views
Katika kaunti ya Tana River, Shughuli za kuwatafuta waathiriwa wa mkasa wa boti ya jana jioni zimeendelea. Ripoti zikituarifu kuwa watu 23 wanatafutwa. Haya yakiendelea huku waliookolewa wakiendelea kupokea matibabu katika hospitali moja Madogo. Waliozungumza wakisimulia yaliyojiri, wakiwalaumu wasimamizi wa boti hiyo kwa kubeba abiria wengi kupita kiasi.Kwa mujibu wa polisi eneo la Madogo, Kufikia sasa ni watu 20 pekee ambao wameokolewa. Shughuli za kutafuta miili ya wanaoshukiwa kuangamia kwenye mkasa huo zinatarajiwa kuendelea hii leo baada ya kusitishwa jana usiku kutokana na giza. Naibu Gavana wa kaunti hiyo Mahat Ali Loka amesema maafisa wa kaunti hiyo wataanza kusafirisha watu kwa kutumia boti za kaunti
Shughuli za kutafuta miili kwenye mkasa wa boti kuzama katika mto Tana zinaendelea
- - Duniani Leo ››
- 15 May 2024 - Taipei said Wednesday it had detected 45 Chinese military aircraft around Taiwan, the highest single-day number this year and coming less than a week before the self-ruled island inaugurates its new president who China regards as a "dangerous separatist…
- » PS Sing'Oei meets Stevo's mother as Gov't seeks all measures to save Kenyan facing execution in Saudi Arabia15 May 2024 - PS Sing'Oei in a statement on X, said he met Dorothy Kweyu--mother to Stephen Bertrand Munyakho (Stevo) who is stuck in a Saudi prison.
- 15 May 2024 - Kuria Kimani, the MP for Molo Constituency and chair of the National Assembly Finance Committee has defended the government’s proposal to levy car owners through a motor vehicle circulation tax.
- 15 May 2024 - Police in Migori County have arrested three suspects linked to the death of a 42-year-old businesswoman who was killed at Chamgiwadu trading centre in Rongo Sub County on the night of May 4, 2024.
- » Dishi Na County to continue amid Gov't plan to scrap school feeding programme, Sakaja assures parent15 May 2024 - Nairobi Governor Johnson Sakaja has assured parents and learners that the city's Dishi na County school feeding program will not be affected by the national government's plan to do away with school feeding programmes
- 15 May 2024 - The tax will be imposed on all vehicles and charged at different rates depending on the value of the car.
- 15 May 2024 - Data that cannot be referenced is not useful, says National Assembly Agriculture committee chairman
- 15 May 2024 - Senate had amended the Division of Revenue Bill, 2024 to increase allocation to Sh415 billion
- 15 May 2024 - Opposition side has tabled acts of omission and commission they believe are reason enough to send CS packing
- 15 May 2024 - We need to elect new leaders who can act on our behalf.