Shughuli za kuwatafuta watu ambao hadi kufikia sasa hawajulikani waliko kufuatia mkasa wa maporomoko ya ardhi katika kaunti ya Elgeyo Marakwet, bado zinaendelea huku mwili mmoja zaidi ukipatikana hii leo, na kufikisha idadi ya waliofariki kuwa 35.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya