- 8 views
Shule katika kaunti ndogo ya Rabai kaunti ya Kilifi zinatarajiwa kunufaika na maji safi baada ya mbunge wa eneo hilo Anthony Kenga kufadhili uchimbaji wa visima vya maji kama njia moja ya kutatua tatizo la uhaba wa maji.Akizindua mradi wa uchimbaji kisima cha maji katika shule ya upili ya Canon Kuri, Kenga alisema kuwa uhaba wa maji katika eneo hilo umeathiri utoaji huduma hususan katika shule ambapo wasimamizi wa shule wanalazimika kununua maji kutoka sehemu za mbali na hivyo kutumia kiasi kukubwa cha fedha zilizotengewa shughuli za kimasomo. Aliahidi kuwa kwa ushirikiano na serikali ya kaunti ya Kilifi atazindua miradi zaidi ya maji katika shule ambayo pia itawafaidi wakazi wa vijiji vilivyo karibu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Shule na umma wanufaika Kilifi
- 17 Jul 2025 - Students of Mawego National Polytechnic in Homa Bay County have written to the interior Principal Secretary Raymond Omollo requesting for the reinstatement of Mawego police station to curb the rising cases of insecurity in the area.
- 17 Jul 2025 - Kenyan rapper Stephen Otieno Adera, alias Stevo Simple Boy’s ex-girlfriend, Purity Vishenwa, famously known as Pritty Vishy, has
- 17 Jul 2025 - The government has arrested several individuals linked with chilling reports of cannibalism in West Pokot County. Interior Cabinet
- 17 Jul 2025 - President William Ruto has challenged his political competitors to publicly present their plans for addressing youth unemployment, accusing
- 17 Jul 2025 - Iraq shopping mall fire kills more than 60
- 17 Jul 2025 - Kenya bets on TechPlomacy to enhance inclusive digital literacy
- 17 Jul 2025 - The MP was ranked at the 2025 Africa Golden Award held in Lagos.
- 17 Jul 2025 - 54 people killed in 24 hours of heavy monsoon rain in Pakistan
- 17 Jul 2025 - Mombasa port registers 8.1 growth in cargo volume
- 17 Jul 2025 - Investigations found some discrepancies in the aftermath of the tragedy.