- 10,463 viewsDuration: 2:40Wanafunzi 10 wa shule ya upili ya wavulala ya Litein wamekamatwa na maafisa wa polisi kufuatia vurumai lililotokea ndani ya shule hiyo jana jioni. Wanafunzi waliripotiwa kuzua fujo na kuteketeza shule baada ya kunyimwa nafasi ya kutazama mechi kati ya Arsenal na Manchester City. Kwa sasa, shule hii imefungwa kwa muda.